Timeless Noel Ft Ben C x X Pey – Nare Lyrics

Timeless Noel Ft Ben C x X Pey - Nare Lyrics
Timeless Noel Ft Ben C x X Pey – Nare Lyrics

Timeless Noel Ft Ben C x X Pey – Nare Lyrics

Enjoy below the official lyrics to Timeless Noel’s new song “Nare” featuring Ben C and X Pey.

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka(Nare)

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka

Buda pale hakutakuwa na cha gang gang
Utakuwa solo ukikuna ma pain pain
Hakuna hero pale hakuna makmende
Utawika pale hakuna cha kumaintain

We tu zidi kuzishikisha
Pombe zidi kuziitisha
Seme tu mi ninakutisha
Blue ticks zidi kunikulisha

Hugundui nakupeleka na rieng
We unataka tu kuspin na mayeng
Unafeel uko safe ju uko na gang
Kuja kwake Christ huku pia kuna sheng’

Nakupeleka na mutaratara
Christ is the way yaani yesu ndiye barabara
Gang wakisema umefyatu umeparara
Waonyeshe huku kuna Odi na Mbwayaga

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka(Nare)

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka

Na hiyo nare itakuwa ile OG
Itakuwa inaburn maksudi(Shwaa)
Utaburn buda utakuwa kuni
Na ni ukweli hii si kitu ninabuni(Aaah)

Kwake Christ me nimestand firm(Aaah)
Na kuna nafasi ka unadai kam(Aaah)
Ebu ngoja kwanza nikaconfirm(Aaah)
Nafasi ni mingi kunichocha

Nakupeleka na mutaratara
Christ is the way yaani yesu ndiye barabara
Gang wakisema umefyatu umeparara
Waonyeshe huku kuna Odi na Mbwayaga

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka(Nare)

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka

Nare nare nare nare
Nare kwa nare
Nare nare nare nare
Nare kwa nare

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka(Nare)

Nikikam thru wananiita(Nare)
Ju kwenye scripture nakuwanga(Nare)
Kama kwa kutenda dhambi we hukuwa(Nare)
Ukubali Christ usiburn ka(Nare)

Nare, nare, nare, nare

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button