New

Linex Sunday – Ayeye Lyrics

Linex Sunday - Ayeye Lyrics
Linex Sunday – Ayeye Lyrics

Linex Sunday – Ayeye Lyrics

Usivunjike moyo haya majina tu yanapita
Kuna life after fame
Huna haja ya kuniacha
Tuianze safari nitakula kiapo
Cha utiifu na ukweli(Ayeye, eeeh)

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi
Ziwe shaidi wangu mie
Sio kwamba nakuomba ndoa
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda(Ayeye)

Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema

Hello, beautiful
It’s you I’ve been looking for

Nikifaulu maisha
Baby uwe nyuma yangu(Ayeye yee)
Kwenye misango ya mawazo
Nisiwe peke yangu(Ayeye yee)

Nisiwe jeshi la mtu mmoja
Nikishiba nisahau Mwenyeza(Ayeye yee)
Maisha ni ya mafupi
Twende wakati wetu tukawe sabakina (Ah ah ah)
Kuja niwe na mfetu
Uwe na mfetu(Ah ah ah) Uwe na mfetu

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi
Ziwe shaidi wangu mie
Sio kwamba nakuomba ndoa
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda(Ayeye)

Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema

Hello, beautiful
It’s you I’ve been looking for

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button