Lyrics : Jimmy Gait – FAVOUR

Jimmy Gait – FAVOUR
Jimmy Gait – FAVOUR

Lyrics : Jimmy Gait – FAVOUR

Download : Jimmy Gait – FAVOUR

Favour mi naomba tu favour
Oooh favour mi naomba tu favour
Nikiwa na favour haitajalisha
Kile ninacho au sina

Esther wa Bibilia alikuwa na favour
Mabinti wengine walitegemea tu urembo
Na ili wawe bibi wa mfalme
Hawakujua kuna kitu inaitwa favour
Yaani favour ya kufanya upendeze
Yaani favour ya kufanya ukubalike

Favour, favour, favour
Favour, favour, favour
Esther ufalme kapatiwa, ufalme kapatiwa .
Esther ufalme kapatiwa, ufalme kapatiwa

Favour mi naomba tu favour
Oooh favour mi naomba tu favour
Nikiwa na favour haitajalisha
Kile ninacho au sina

Naomba favour aah, naomba favour

Saa zingine unajipata
Huna pesa ya biashara
Na wale wako nazo
Hawataki kusaidia

Kumbuka kuna kitu inaitwa favour
Ukitaka promotion na kunayo competition
Kumbuka kuna kitu inaitwa favour

Haijalishi umetoka wapi
Haijalishi umesoma vipi
Favour ndio wahitaji

Favour, ndio wahitaji
Esther ufalme kapatiwa
Ufalme kapatiwa

Favour mi naomba tu favour
Oooh favour mi naomba tu favour
Nikiwa na favour haitajalisha
Kile ninacho au sina

Naomba favour aah, naomba favour
Naomba favour aah, naomba favour

Oooh- oooh-oooh, oooh
Ninakutabiria favour biashara yako itauza
Ninakutabiria favour kwa masomo yako utapita
Ninakutabiria favour ndoa yako itasimama
Ninakutabiria favour magonjwa yote utapona
Ninakutabiria favour madeni yote utalipa

Favour mi naomba tu favour
Oooh favour mi naomba tu favour
Nikiwa na favour haitajalisha
Kile ninacho au sina

Naomba favour aah, naomba favour
Naomba favour aah, naomba favour

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button