Lyrics : Shay Diva x Ssaru – Zungushiwa

Lyrics Shay Diva x Ssaru - Zungushiwa
Lyrics Shay Diva x Ssaru – Zungushiwa

Lyrics : Shay Diva x Ssaru – Zungushiwa

https://www.youtube.com/watch?v=PDHvAC43850&feature=emb_title

Utazungushiwa
(Motif Di Don)

Introduction, weka caption
Tumekam tumekuja kuwahang down
Tumejam tunataka kuwamurder
Hii ni fam but sote ni ma mother

Now they asking who is the father?
Cheki buda niko na nyumba
Niko na bunda niko na thutha
Naweza kubuyia tu apartment tu Runda

Nikulipie rent Jan to December
Nibuyie manze yako wig mi ni spender
Huwezi compare v8 na ma Fielder
Huwezi compare SS na hao manigga

Ukifika ligi yetu we ringa
Mi ni bingwa huwezi ni hinder
Nimekam kibacteria kidiggers
Mi ni mratchet nabamba hao manigga

Cash cash mi ntakupa
Mi Diva nakulika
Ka ni tei utafunguliwa
Pia haga utazungushiwa

SS utazungushiwa
SS utazungushiwa

Ngoto pea huyo boy ngoto
Ghetto Kevo anakula vako
Na mboko ishachapata ata mamako
Joto ako on heat kama meko

Nyoka imekam na aliclear hiyo bush jo
Ikicheki rada hakuna place inaweza go
Ati madam mi nataka hiyo pango
Pango tight we nyonga hio shingo

Six inch go deep mi nataka more
We ni mngori nitakusalimia shikamoo
Utamu wa asali naisikizia hapa kwa roho
Rungu ngori mpaka inagonga hizo minyoo

Cash cash mi ntakupa
Mi Diva nakulika
Ka ni tei utafunguliwa
Pia haga utazungushiwa

SS utazungushiwa
SS utazungushiwa

Cash cash mi ntakupa
Mi ni Ssaru nakulika
Ka ni tei utafunguliwa
Pia haga utazungushiwa

SS utazungushiwa
SS utazungushiwa

Tumekuja takeover aha aha
My nigga tuende sleepover aha aha
Utazungushiwa, utazungushiwa
Uzuzuke, utazungushiwa
Uzuzuke, utazungushiwa
Uzuzuke, uzuzuke, uzuzuke

Cash cash mi ntakupa
Mi Diva nakulika
Ka ni tei utafunguliwa
Pia haga utazungushiwa

SS utazungushiwa
SS utazungushiwa

Cash cash mi ntakupa
Mi ni Ssaru nakulika
Ka ni tei utafunguliwa
Pia haga utazungushiwa

SS utazungushiwa
SS utazungushiwa

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button