Masauti – Niwe Nawe Lyrics

Masauti - Niwe Nawe Lyrics
Masauti – Niwe Nawe Lyrics

Masauti – Niwe Nawe Lyrics

Sijawai pata mrembo kama wewe(Aaah)
Basi usijeleta vineno unizengue

Sherry si unajua ninavyokupenda
Tena si unatambua, tulipotoka far
Sherry si unajua ninavyokupenda
Tena si unatambua, tulipotoka far

Nataka unipe nipe
Mapenzi ya kweli
Usinizengue niumie

Nataka niwe nawe
Nataka niishi nawe
Nataka niwe nawe
Wangu my beiby Nataka niwe nawe

Nataka niishi nawe
Nataka niwe nawe
Wangu my beiby

Nataka niwe nawe
Nataka niishi nawe
Nataka niwe nawe
Wangu my beiby

Upendo, wako tofauti na wengine
Maskendo sijaona toka niwe na wewe
Upendo, wako tofauti na wengine
Maskendo sijaona toka niwe na wewe

Mmmh my beiby
Nipe busu masiri waumie, tena mdomoni
Mapenzi yetu yazidi, tuyaridhie

Nataka unipe nipe
Mapenzi ya kweli
Usinizengue niumie

Nataka niwe nawe
Nataka niishi nawe
Nataka niwe nawe
Wangu my beiby

Nataka niwe nawe
Nataka niishi nawe
Nataka niwe nawe
Wangu my beiby

Moyo utaniuma nisipokuona mama
Moyo utaniuma nisipokuona mama
Ndio maana nataka niwe nawe eeh
Ndio maana nataka niishi nawe eeh

Oooh…

Nataka niwe nawe
Nataka niishi nawe
Nataka niwe nawe
Wangu my beiby

Nataka niwe nawe
Nataka niishi nawe
Nataka niwe nawe
Wangu my beiby

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button