Nandy – Powerful Lyrics

Nandy - Powerful Lyrics
Nandy – Powerful Lyrics

Nandy – Powerful Lyrics

(Kimambo on the beats)

Nilipotoka nilipona
Na vijimateso nilionja
Mola ananiongoza
Najiepusha na ulofa

Niko huku Ako kule
Huyu ndio Mungu Bwana hawezi vuruga game
Na we ndo kinara huku Ako kule
Ameninyoosha sana nijajitambua

I’m powerful, sababu yako
Cause you’re powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako

I’m powerful, sababu yako
Cause you’re powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako

Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi

Wahenga wahenga walisema aliyejuu mngojee chini
Mimi msichana wa kisasa siwezi suburia chini

Niko gadogado, napambana bado
Imani yangu kwako ndo nguzo kwako
Niko gadogado, napambana bado
Imani yangu kwako

I’m powerful, sababu yako
Cause you’re powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako

I’m powerful, sababu yako
Cause you’re powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako

Walisema Sina na sitoweza weza kupata
Na ndo maana leo(wamefyata)
Walisema Sina nyota yangu ya punda
Na ndio maana leo

I’m powerful, sababu yako
Cause you’re powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako

I’m powerful, sababu yako
Cause you’re powerful, zaidi yao
Madugudugu, shauri zao
Amani moyoni, kutoka kwako

Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi
Zaidi, zaidi yao, zaidi

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button