Zzero Sufuri – Maria Lyrics

Zzero Sufuri – Maria
Zzero Sufuri – Maria

Zzero Sufuri – Maria Lyrics

Download : Zzero Sufuri – Maria

Kama sos
Mi ndio Boss
Mi ndio worldboss

Mariaa aaah
Maria, ukiniwacha utaniumiza girl
Mariaa aaah
Si nilikupenda vile mi hupenda ki sssh sssh

Mariaa aaah
Nakupenda nakwambia girl
Mariaa aaah
Ukiniwacha utaniumiza girl

Kuna vile mi nahisi
Umenifanya mi nisinzie eeh
Ni kama unanichoma
Mi nisipokuona roho oo

Hadi nitakuja very quickly
Baby mi ukiniita we
Kuna vile mi nahisi
Kwangu sio rahisi wee

Kuna maria anapenda pesa(Pesa)
Kuna maria anapenda nature
Na pia kuna maria ukimpata
Ukitaka utaitapa hatakuwacha ukiteseka

Kila siku yako shamba utaifyeka
Vizuri tena sana ataiweka
Wangu Maria kumpata si rahisi
Si kama wale hupatikana hivi hivi

Maria mzuri ni yule unaweza mturn bibi
Maria bado anaweza kufanya uchizi
Ukamkosa kwa wiki amini usimini
Kumpata Maria yule wako si rahisi

Maria nakueleza vile anahisi
Maria tabia si ati kingi
Chunga marafiki wengine wanafiki
Tunza wako poa na nko sure mtakaa fiti

Mariaa aaah
Maria, ukiniwacha utaniumiza girl
Mariaa aaah
Si nilikupenda vile mi hupenda ki sssh sssh

Mariaa aaah
Nakupenda nakwambia girl
Mariaa aaah
Ukiniwacha utaniumiza girl

Kuna vile mi nahisi
Umenifanya mi nisinzie eeh
Ni kama unanichoma
Mi nisipokuona roho oo

Hadi nitakuja very quickly
Baby mi ukiniita we
Kuna vile mi nahisi
Kwangu sio rahisi wee

Am fine with the girl like you
Girl niko fine tu na wewe
Infact sikutake out tu
Niko serious sa you will know that

Zzero niko in love with you
Eeh beiby scream my name
Ju nataka twende far with you
No lies no limits beiby
Am fine with a girl like you

Girl niko fine tu na wewe
Infact sikutake out tu
Niko serious sa you will know that

Mariaa aaah
Maria, ukiniwacha utaniumiza girl
Mariaa aaah
Si nilikupenda vile mi hupenda ki sssh sssh

Mariaa aaah
Nakupenda nakwambia girl
Mariaa aaah
Ukiniwacha utaniumiza girl

Kuna vile mi nahisi
Umenifanya mi nisinzie eeh
Ni kama unanichoma
Mi nisipokuona roho oo

Hadi nitakuja very quickly
Baby mi ukiniita we
Kuna vile mi nahisi
Kwangu sio rahisi wee

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button