Lulu diva ft Mr Blue – Naogopa lyrics

LULU DIVA Ft MR BLUE - NAOGOPA
LULU DIVA Ft MR BLUE – NAOGOPA

Lulu diva ft Mr Blue – Naogopa lyrics

Stream : Lulu diva ft Mr Blue – Naogopa

You are my candle light
Nakupa sifa sijaona
Jinsi una petty petty
Wanishika moyo wayoyoma

Kwa wengine sichezi
Penzi lako kwangu ngoma
Nitalinda penzi
Pembezoni mpaka Gola

Usiniache feli
Ukanidanganya danganya
Penzi la kitapeli
Utu ukautawanya

Mi nakupenda beiby
Kwa marefu na mapana
Wengine wasije wakanipora
Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora
Wakanipora oooh
Wengine wasije wakanipora(Diva Diva)
Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora
Wakanipora oooh

Shikilia unaposhika
Na vipofu tule nao
Hello dear umenishika
Nipe tam bila wao

Umenileta mbali ya dunia
Siendi tena kwao
Nakuona mali mara mia
Sipendi nyuso zao

Cheki unalock
Ndani kufuli hugusi
Napenda catwalk
Alivozichonga nyusi

Napenda nywele ndefu
Kama toto la Urusi
Ukivaa unapendeza
Vaa gauni la harusi

Nyuma unavyorudi
Mbele unavyokwenda
Inabaki sina budi
Sijabugi kukupenda

Tena makusudi
Ikiss na lips tender
Chumbani mpaka na hoodi
Hivi ndivyo inavyokwenda

You’re my Lulu Diva
Mtoto umeiva
Dhamani ya dhahabu
Sitaki tena masilver

Oooh sipati shida
Sitaki tiba
Tabibu kashafika
Nimesema sitaki fever

Usiniache feli
Ukanidanganya danganya
Penzi la kitapeli
Utu ukautawanya

Mi nakupenda beiby
Kwa marefu na mapana
Wengine wasije wakanipora
Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora
Wakanipora oooh
Wengine wasije wakanipora(Diva Diva)
Wakanipora oooh

Naogopa wasije wakanipora
Wakanipora oooh

Kwa raha zako sitamani
Sitamani mwingine
Nimeshiba kwako sitamani
Sitamani mwingine

Oooh my beiby sitamani
Sitamani mwingine
Unavyonipa vya ndani
Sitamani mwingine

Ahadi kukupa dosi
Ili usitamani mwingine
Nakufuta na machozi
Wabanie matozi wakale pengine

Sitamani! Sitamani mwingine
Sitamani! Sitamani mwingine
(Uh, Diva, Diva)

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button