Lyrics : Nyandu Tozzy Ft Rayvanny & Mr Blue – Mawe

Nyandu Tozzy Ft Rayvanny & Mr Blue – Mawe
Nyandu Tozzy Ft Rayvanny & Mr Blue – Mawe

Lyrics : Nyandu Tozzy Ft Rayvanny & Mr Blue – Mawe

Read through the official lyrics to Mawe,a new song by Nyandu Tozzy featuring Rayvanny and Mr Blue.

Download : Nyandu Tozzy Ft Rayvanny & Mr Blue – Mawe

Kuna maku ameniDM (DM)

Anasema nyandu sku hizi unazima sherry fegi

Umekuwa watu kinoma unahang out na kina vibegi

Nikamjibu njoo nikukunje ile mbuzi kagoma — we mpaka nidedi

Sku hizi kitu na filter

Sidhani kama ungenijua kiundani

Ungekubali kuwa hater

Natokea uswahilini mguu shetani mguu jini

Bado mitaa imeniamini kama kiongozi wa dini

R.I.P lango umekwenda umekwenda rafiki wa kweli

Nimebaki mimi

Siku hizi hawatuoni oni tunaishi local –

Na Mungu anatuongoza

Tujachukua ubingwa la ligi tunawaongoza

Tamaa na shobo nyingi mabishoo vinawaponza

Wana nyumba za vioo

Wanaleta shobo

Eeeh wanaleta nyodo

Eeeh wanaleta shobo

Eeeh wanaleta

Eeeh tunatupa mawe, eeh mawe

Tupa mawe, eeh mawe

Tunatupa mawe, eeh mawe

Mawe, eeh mawe

I say kinyago, nakuchonga unanitisha

Lala na bango na team haitovunjika

Tuliza kipago na mbwembwe zako za insta

Ona napiga collabo na mwanangu wa maisha

Ey Mr Dj twende kwenye replay

Ey Mr Wivu we mpaka wivu uishe

Bongo tuiwakilishe mkunga usimzalilishe

We mwenye nyumba, nyumba kauhalalalishe

Ahh Busy Babilon, kichaa la hiphop

Najulikana sana angani Mr Pipa

Mashoot makali juu ya ndae golikeeper

Hiphop inauza na getini mtalipa

Kilomita nyingi nanyoosha goti

Mi ndondosha verse we ndondosha pochi

Nadodosha noti unadodosha chozi

Mi nagonga copy kagonge goti

Wana nyumba za vioo

Wanaleta shobo

Eeeh wanaleta nyodo

Eeeh wanaleta shobo

Eeeh wanaleta

Eeh tunatupa mawe, eeh mawe

Tupa mawe, eeh mawe

Tunatupa mawe, eeh mawe

Mawe, eeh mawe

Eeh tunatupa mawe, eeh mawe

Tupa mawe, eeh mawe

Tunatupa mawe, eeh mawe

Mawe, eeh mawe

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button