Lyrics : SUNNY FT NANDY – Navimba

Lyrics SUNNY FT NANDY - Navimba
Lyrics SUNNY FT NANDY – Navimba

Lyrics : SUNNY FT NANDY – Navimba

Nimumunye nini?
Ing’ate ing’ate
Sukuma chini
Umate umate

Nyuzi tisini
Nitume nifuate
Nakesha kibindoni tamu
Ifuate ifuate

Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela
Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela

Twanga kama kokoto(Kikaaongoni)
Chezesha na kiboko(Yai nyoni)
Show zetu sio local(Vuka mtoni)
Pita chuchu kwa chuchu(Nipande kilimani)

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)

Wataumia koo
Wanaoleta leta mizozo
Wambea wape kisogo
Tulimalize zogo, ooh yaye

Yawabo, yawaboa
Kunidekeza kitoto, yawaboa
Ni mchumba kisha ondoa
Kama madikodiko watakodoa

Pute najiwasha mwenyewe
Peke yako wanikosha mwenyewe iyo
Wanga wanaona gere
Wowowo

Twanga kama kokoto(Kikaaongoni)
Chezesha na kiboko(Yai nyoni)
Pita chuchu kwa chuchu(Vuka mtoni)
Show zetu sio local(Nipande kilimani)

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

Twanga kama kokoto(Kikaaongoni)
Chezesha na kiboko(Yai nyoni)
Pita chuchu kwa chuchu(Vuka mtoni)
Show zetu sio local(Nipande kilimani)

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela
Ukinigusa chela pina
Nacheka cheka chela

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

Nanenepa navimba
Navimba navimba
Nanenepa navimba
Navimba navimba

(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)
(Pipi, piipi)

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button